Searching...
Alhamisi, 23 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA IJUMAA MAY 24-UKIWA NA TAHADHARI



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 24/05/2013.

[Mkoa wa Kagera]:

Hali ya mawingu kiasi  mvua ,ngurumo katika  maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Morogoro (Kusini), Iringa  na Mbeya
( Katika Maeneo ya Miinuko)]:
Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika  maeneo  machache   na vipindi  vya jua
[Mkoa wa Mara na Kigoma]:
Hali ya mawingu kiasi , ngurumo katika  maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Tanga]:
[Mikoa ya Rukwa, Ruvuma ,Lindi, na Mtwara]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Tabora, Singida na Dodoma]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro Kaskazini]:
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

TAHADHARI: 
UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 YANATARAJIWA KATIKA   
                         BAADHI YA MAENEO YA PWANI YA KUSINI. TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.

  VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:


MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
                23°C               
12:28
D'SALAAM
             32°C           
12:11
DODOMA
28°C
12:26
KIGOMA           
29°C
12:52
MBEYA
24°C
12:31
MWANZA
30°C
12:43
TABORA
30°C
12:40
TANGA
32°C
12:15
ZANZIBAR
              30°C           
12:11
PEMBA
             30°C           
12:04
MOROGORO
              30°C           
12:18
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka  Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani  ya Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 40 kwa saa
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi hadi Makubwa .

Matazamio kwa usiku wa leo Ijumaa: 24/05/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 24/05/2013.
  Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!