Jeneza la CHINUA ACHEBE likiwa limebebwa na vijana maalumu tayari kwa mazishi.
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Chinua Achebe

Raisi wa Nigeria Goddlucky Jonathan Akiwapungia waombolezaji
Mmoja wa waombelezaji ambaye ni muuzaji wa vitabu hapo Nigeria akiwa amebeba bango linalooshesha picha ya marehemu CHINUA ACHEBE
Raisi wa Nigeria na Raisi wa Ghana wakiwapungia waombolezaji

Mke wa Marehemu Christie Achebe

RIP Chinua Achebe enzi za uhai wake..nakikumbuka sanaaa kitabu chake cha 'Things Fall Apart'
0 comments:
Chapisha Maoni