WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 25/05/2013.
[Mikoa ya Kigoma, Kagera na
Rukwa]:
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Iringa
na Mbeya (Maeneo ya Miinuko)]:
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua
|
|
[Mikoa ya Morogoro, Ruvuma
,Lindi, na Mtwara]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Mara, Mwanza na
Shinyanga]:
[Mikoa ya Tabora, Singida
na Dodoma]:
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO:
UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 YANATARAJIWA KATIKA
BAADHI YA MAENEO YA
PWANI YOTE. TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
12:28
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:11
|
DODOMA
|
29°C
|
12:26
|
KIGOMA
|
29°C
|
12:52
|
MBEYA
|
24°C
|
12:31
|
MWANZA
|
30°C
|
12:43
|
TABORA
|
30°C
|
12:40
|
TANGA |
30°C
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
12:11
|
PEMBA
|
29°C
|
12:04
|
MOROGORO
|
29°C
|
12:18
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya
km 40 kwa saa; kutoka Kusini kwa
Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa .
Matazamio kwa
usiku wa leo Jumamosi: 25/05/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 25/05/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni