Searching...
Alhamisi, 2 Mei 2013

ANGALIA JINSI MEI MOSI ILIVYOFANA SHINYANGA.

 Maandamano ya Wafanyakazi yakiongozwa na bendi wakati wakipita mbele ya mgeni Rasmi,Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally N. Rufunga jana katika uwanja wa Jamhuri Wilayani Kahama sherehe hizo zilipofanyika kimkoa.
 Burudani za ngoma za asili za kisukuma na nyimbo za taarabu kutoka kwa walimu zilifanikisha vilivyo.
 Mwenyekiti wa TUICO Mkoa wa Shinyanga Bw.Fue Mrindoko akimkaribisha Mhe.Ali N. Rufunga kuzungumza na wafanyakazi waliofurika katika kiwanja cha Jamhuri mjini Kahama.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally Rufunga jana katika uwanja wa Jamhuri Wilayani Kahama sherehe siku ya wafanyakazi duniani mei mosi.
Picha na Magdalena Nkulu, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Shinyanga.


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!