Searching...
Jumanne, 30 Aprili 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMANNE - UKIWA NA TAHADHARI



           WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE30/04/2013.


[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
 [Mkoa wa Kigoma]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika  maeneo machache na vipindi  vya jua
[Mikoa ya Dar Es Salaam, Pwani na Tanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara na Lindi]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu kiasi na mvua katika
maeneo machache  na vipindi  vya  jua.

[Mikoa ya Tabora na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya Rukwa, Iringa na Mbeya]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.

TAHADHARI: UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 YANATARAJIWA KATIKA   
                         BAADHI YA MAENEO YA PWANI YA KUSINI .TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
24°C               
12:33
D'SALAAM
29°C           
12:19
DODOMA
28°C
12:34
KIGOMA           
26°C
12:59
MBEYA
22°C
12:40
MWANZA
27°C
12:49
TABORA
28°C
12:47
TANGA
27°C
12:22
ZANZIBAR
29°C            
12:19
PEMBA
27°C           
12:22
MOROGORO
29°C           
12:26

   Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma  kutoka  Kusini  kwa kasi ya km 30 kwa saa katika Pwani  ya
               Kaskazini na kutoka  Kusini-Mashariki  kwa kasi ya km 40 kwa saa katika Pwani  ya Kusini. 

  Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa.

Matazamio kwa usiku wa leo Jumanne: 30/04/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 30/04/2013. 

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!