Searching...
Jumanne, 30 Aprili 2013

DI CANIO AOMBA RADHI KUFUATIA KIPIGO CHA BAO 6-1



                 
               Kocha wa sunderland  Paolo Di Canio.
Kocha wa sunderland Paolo Di Canio amelazimika kuomba radhi mashabiki wa timu hiyo kufuatia kipigo cha mabao sita kwa moja kutoka kwa klabu ya Aston Villa katika uwanja wa Villa Park.
Mchezaji Christian Benteke ndiye aliyekua mwiba mchungu wa Di Canio baada ya kuingia nyavuni mara tatu katika dakika ya 53,60 na 72 huku magoli mengine yakifungwa na Ron vlaar dakika ya 30,Danny Rose dakika ya 32 na Andreas Weimann dakika ya 38.Na kuiwezesha timu hiyo kufikisha point 37 sawasawa na Sunderland na hivyo kujihakikishia kwa asilimia Fulani kutokushuka daraja.
"Tunaomba radhi kwa wapenzi na mashabiki wa timu yetu waliosafiri kuja kutupa sapoti kwa kipigo hichi kikubwa’ alisema kocha huyi wa paka weusi" said Black Cats Paolo Di Canio.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!