Searching...
Jumatatu, 22 Aprili 2013

RAIS WA ZANZIBAR MH.DR.MOHAMED SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA JUU WA ZANZIBAR.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi Ofisi ya Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo, katika utekelezaji wa kazi za Ofisi hiyo, katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar (kulia) Katibu Mkuu Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dk. Abdulhamid Yahaya Mzee.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais (Fedha Uchumu na Mipango ya Maendeleo) katika utekelezaji wa kazi za Ofisi hiyo, katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim SEif Sharif Hamad. 
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!