Searching...
Jumatatu, 22 Aprili 2013

WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA AKABIDHIWA TUZO YA HESHIMA MKOANI IRINGA

 Askofu  wa  kituo  cha maombezi  na uponaji cha  Overcomers Power Center (OPC) Dkt  Boaz Sollo (kushoto) akimakabidhi tuzo ya  heshima mfano  wa ramani ya  Tanzania  waziri mkuu  wa zamani Edward  Lowassa  jana katika hafla ya  kuchangia ujenzi  wa kanisa na kuendeleza kituo cha radio Overcomers Fm ,katika harambee  hiyo Lowassa aliahidi kuachangia milioni 15  na kufanikisha kupata  Tsh zaidi ya milioni 75 zikiwemo  fedha taslimu na ahadi .
  waziri mkuu  wa zamani Edward  Lowassa akionyesha tuzo ya  heshima mfano  wa ramani ya  Tanzania aliyotunukiwa, kushoto kwake ni Askofu  wa  kituo  cha maombezi  na uponaji cha  Overcomers Power Center (OPC) Dkt  Boaz Sollo Mheshimiwa Lowassa Alikabidhiwa Tuzo Hiyo katika hafla ya  kuchangia ujenzi  wa kanisa na kuendeleza kituo cha radio Overcomers Fm ,katika harambee  hiyo Lowassa aliahidi kuachangia milioni 15  nakufanikisha kupata  Tsh zaidi ya milioni 75 zikiwemo  fedha taslimu na ahadi .Picha na Habari na Mdau Francis Godwin

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!