Searching...
Jumatano, 17 Aprili 2013

RAIS MSTAAFU AZUNGUMZIA SUALA LA KUCHINJA.

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHESHIMIWA ALLY HASSAN MWINYI AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI NYUMBANI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM KUHUSU SAKATA LA NANI ACHINJE KITOWEO
 GODFREY MONYO NA RAIS MSTAAFU ALLY HASSAN MWINYI.
Mwandishi mwandamizi wa blog hii Comrade Godfrey Monyo akiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya pili "mzee wa ruksa" Mheshimiwa Alhaji Ally Hassan Mwinyi nyumbani kwake muda mfupi baada ya kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la uchinjaji ambapo amesema hakuna haja ya kuwa na maduka ya nyama zilizonjinjwa kwa ajili ya waislamu  na wengine kwaajili ya wakristu na badala yake watanzania wawe kitu kimoja.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!