Searching...
Alhamisi, 25 Aprili 2013

RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI MBALIMBALI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete amepokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi wanne wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.Walioziwasilisha hati zao ni pamoja na Balozi Mpya wa Morocco nchini Tanzania Mhe.Abdelilah Benryane, Balozi mpya wa Hungary Mhe.Sandoz Juhasz,Balozi mpya wa Austria Mhe. Christian Hasenbichler na Balozi Mpya wa Chille nchini Mhe.Konrad Paulsen.Pichani Balozi Mpya wa Morocco Mhe.Abdelilah Benryane akiwailisha hati zake za utambulisho kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam  .Picha na Freddy Maro-IKULU


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!