Searching...
Alhamisi, 25 Aprili 2013

BARCLAYS TANZANIA YAZINDUA MATEMBEZI YA HISANI YA STEP AHEAD WORK 2013

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Barclays Tanzania, Kihara Maina, akizungumza na waanbdishi wa habari Makoa Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam juu ya mchakato wa Matembezio ya Hisani ya Step Ahead mwaka huu ambayo yatafanyika Juni 8, 2013 na yatakuwa ya Kilometa 5 ambapo Mgeni Rasmni anataraji kuwa Dk. Asha-Rose Migiro. Pamoja nae ni Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Susan Boon.
Mkurugenzi wa AMREF Tanzania Dr, Festus Ilako (kulia) akizungumzia ushiriki wa Shirika hilo katika kufanikisha matembezi hayo ya Hisani ya Step Ahead mwaka huu ambayo yatafanyika Juni 8, 2013 na yatakuwa ya Kilometa 5 ambapo Mgeni Rasmni anataraji kuwa Dk. Asha-Rose Migiro. Pamoja nae ni Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Susan Boon (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Barclays Tanzania, Kihara Maina.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Benki ya Barclays Tanzania, Tunu Kavishe akifdafanua jambo kwa wanahabari juu ya matembezi hayo ya Hisani. Wengine katika picha ni Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Susan Boon (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Barclays Tanzania, Kihara Maina


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!