Searching...
Jumapili, 21 Aprili 2013

MAKAMU WA PILI WA RAIS AFUNGUA SEMINA YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI

  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifungua Semina ya siku moja ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu uimarishaji wa Jeshi la Polisi Tanzania iliyofanyika katika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakili wakisikiliza Hotuba ya mgeni rasmi Balozi Seif katika semina ya Wajumbe hao kuhusu maboresho ya Jeshi la Polisi Tanzania iliyofanyika katika Ukumbi wa juu wa Baraza hilo uliopo Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar
 Maafisa wa ngazi ya juu wa Jeshi la polisi Tanzania walioshiriki semina ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi  Zanzibar wakifuatilia Hotuba ya ufunguzi wa semina hiyo uliofanywa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwenye ukumbi wa Baraza hilo uliopo Mbweni.
  Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakili wakisikiliza Hotuba ya mgeni rasmi Balozi Seif katika semina ya Wajumbe hao kuhusu maboresho ya Jeshi la Polisi Tanzania iliyofanyika katika Ukumbi wa juu wa Baraza hilo uliopo Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Picha na Hassan Issa wa -Ofisi ya Makamu wa Pili Wa Rais Zanzibar-Zanzibar


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!