Searching...
Ijumaa, 5 Aprili 2013

JAMBAZI SUGU LAKAMATTA NA BUNDUKI NA RISASI 1200



Kamanda wa polisi mkoa Kigoma Fraiser Kashai akionyesha noti bandia zenye thamani ya shilingi 200,000 sambamba na risasi 1200 ambazo alikamatwa nazo mtu mmoja anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu.
 


Kamanda wa polisi mkoa Kigoma Fraiser Kashai akionyesha moja ya magobore mawili yaliyokamatwa katika msako uliofanywa na polisi mkoani kigoma sambamba na risasi 1200 ambazo alikamatwa nazo mtu mmoja anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu

                                                       RISASI 1200 ZILIZOKAMATWA
             WAANDISHI WA HABARI WAKIMSIKILIZA KAMANDA KWA MAKINI
                                                  NOTI BANDIA ZILIZOKAMATWA

Kamanda wa polisi mkoa Kigoma Fraiser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari moja ya magobore mawili yaliyokamatwa katika msako uliofanywa na polisi mkoani kigoma sambamba na risasi 1200 ambazo alikamatwa nazo mtu mmoja anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu.

Picha zote kwa hisani ya kaka yangu DEOGRATIUS NSOKOLO

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!