WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 04/04/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kigoma, na
Tabora]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida
]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi , mvua
na ngurumo katika
maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es
Salaam,Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mikoa ya Rukwa ,Mbeya na
Iringa]:
[Mikoa ya Morogoro, Lindi
na Mtwara]:
[Mkoa wa Ruvuma]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi na mvua
katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
25°C
|
12:44
|
D'SALAAM
|
32°C
|
12:33
|
DODOMA
|
29°C
|
12:47
|
KIGOMA
|
28°C
|
01:11
|
MBEYA
|
25°C
|
12:56
|
MWANZA
|
28°C
|
12:58
|
TABORA
|
28°C
|
12:59
|
TANGA |
33°C
|
12:34
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
12:33
|
PEMBA
|
31°C
|
12:29
|
MOROGORO
|
31°C
|
12:35
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini
mashariki kwa kasi ya km 20 kwa
saa kwa
Pwani ya Kaskazini na kutoka
Mashariki kwa kasi ya km 10 kwa saa kwa pwani ya kusini
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo
madogo
Matazamio kwa usiku wa leo Alhamisi:
04/04/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 04/04/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni