
  Ofisa
 Maendeleo wa Kusini mwa Afrika wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa 
Miguu (FIFA), Ashford Mamelodi (kushoto) akisistiza jambo jana 
alipotembelea wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo.

 Katibu
 Mkuu Wizara ya Habari ,Vijana, Utamaduni na Michezo Bw.Seth Kamuhanda 
wa kwanza kulia akimsikiliza mwakilishi wa Fifa wa kwanza kushoto 
aliyekuja nchini kutatua mgogoro uliokuwepo kwenye uchaguzi wa rais wa 
shirikisho la mpira nchini katikati ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa 
Miguu Tanzania (TFF) Bw.Leodgar Tenga katika ukumbi wa Wizara ya Habari 
jana jijini Dar es salaam.

 Kutoka
 kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya  Michezo Wizara ya Habari, 
,Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Loenard Thadeo kushoto kwake ni 
Mkurugenzi Wa Habari Bw.Assah Mwambene,Mkurugenzi wa Msaidizi wa Michezo
 Bi.Juliana Yasoda na Afisa Habari Mkuu wa Wizara Bw.Godlease Malisa 
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa wizara hiyo Bw.Seth Kamuhanda hayupo kwenye
 picha .

 Wawakilishi
 wa fifa wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya 
Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw.Seth Kamuhanda aliyekaa Katikati 
na baadhi ya viongozi wa wizara na Shirikisho la mpira wa Miguu (TFF) 
wakiongozwa na Rais Leodgar Tenga  aliyeketi wa Kwanza Kushoto.
 
 
0 comments:
Chapisha Maoni