Pichani
juu ni wajumbe wa Tanzania Katika Majadiliano na Ujumbe wa Benki ya
Dunia Juu ya Namna ya Kuboresha Utendaji na Kuliletea Maendeleo Taifa.
Kutoka
kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dr. Silvacius Likwelile
pamoja na Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Dr. Philip
Mpango akiwasilisha mpango wa maboresho katika Elimu, Maji, Nishati,
Usafirishaji, Rasilimali Fedha na Kilimo.
0 comments:
Chapisha Maoni