WANAFUNZI
zaidi ya 20 wa shule ya
kimataifa ya St Charles iliyopo Don Bosco
katika Manispaa ya Iringa wamenusurika kifo
baada ya gari waliyokuwa
wamepanga aina ya Daladala lenye namba T415 AEG
kushindwa kupanda mlima na kupinduka.
Huku mbinu za wezi wa
watoto zikionyesha kugonga mwamba baada ya mwanamke mmoja kushtukiwa akitaka
kukimbia na mtoto asiye wake kwa madai anamkimbiza Hospitali.
Ajali
hiyo imetokea majira ya saa 2 mchana
wa leo katika eneo la
Msikiti wa Hidaya katika kata ya Mvinjeni katikati
ya mji wa Iringa.
HILO NDILO BASI DOGO AINA YA HICE WALILOKUA WAKISAFIRIA LILOPINDUKA NA WAO KUNUSURIKA
ASKARI POLISI NA WASAMARIA WEMA WAKIWAOKOAWATOTO WALIONUSURIKA KATIKA AJALI HIYO
WANANCHI WAKISHUHUDIA GARI LILILOPATA AJALI LIKIWA NA WATOTO 25 WA SHULE YA ST.CHARLES
WATOTO WALIONUSURIKA WAKILIA KWA UCHUNGU WAKIWAHITAJI WAZAZI WAO.
WATOTO WALIONUSURIKA KATIKA AJALI HIYO WAKIINGIZWA KWENYE GARI KUPELEKWA HOSPITALI KWAAJILI YA KUANGALIWA AFYA ZAO ZAIDI
ASKARI POLISI AKICHUKUA MAELEZO KWA WATOTO WALIONUSURIKA AJALINI
WATOTO WALIONUSURIKA KATIKA AJALI WAKISUBIRI HUDUMA HOSPITALINI
ASKARI WA KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WAKIKAKUA GARI LILILOPATA AJALI LIKIWA NA WATOTO 25
WANANCHI WAKISHANGAA AJALI
0 comments:
Chapisha Maoni