Searching...
Jumanne, 16 Aprili 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMATANO-APRIL17



           WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
          UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 17/04/2013.

[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache  na vipindi  vya jua
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya Dar es Salaam,  Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya  Mbeya na Rukwa]:


Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache  na vipindi  vya  jua.
[Mikoa ya Lindi  na Mtwara]:
[Mikoa ya Iringa na Ruvuma]
[Mkoa wa Morogoro]

Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
                23°C               
12:36
D'SALAAM
            31°C           
12:23
DODOMA
29°C
12:37
KIGOMA           
29°C
01:02
MBEYA
24°C
12:45
MWANZA
28°C
12:50
TABORA
28°C
12:50
TANGA
30°C
12:25
ZANZIBAR
           30°C           
12:23
PEMBA
          31°C           
12:25
MOROGORO
31°C           
12:32

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka  Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa  Pwani yote

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi..

Matazamio kwa usiku wa leo Jumatano 17/04/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 17/04/2013.


Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!