Searching...
Jumanne, 1 Julai 2014

WAZIRI MKUU WA UBELGIJI AMCHOKOZA OBAMA KOMBE LA DUNIA.

Confident: Belgian Prime Minister Elio Di Rupo has challenged Barack Obama to a bet
Waziri mkuu wa Ubelgiji Elio Di Rupo amemtumia ujumbe raisi wa marekani Barack Obama wa utani baada ya kujigamba kwamba usiku wa leo Ubelgiji itawafunga Marekani na kutinga katika hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la dunia huko nchini Brazili.
Yet to respond: Barack Obama has not tweeted the Belgium Prime Minister back yet Hata hivyo pamoja na vijigambo hivyo vya waziri mkuu wa Ubelgiji Raisi wa Marekani Barack Obama hakutaka kujibu lolote ikiwa ni kama ishara ya kusubiri matokeo ya mtanange huo.
Football fan: Barack Obama watches USA's defeat to Germany on Air Force One Siku ambayo Raisi wa Marekani Barack Obama alipoishuhudia kwenye ndege timu yake ya taifa ikiambulia kipigo kutoka kwa Ujerumani.
Taking a break: Barack Obama broke off from diplomatic affairs to watch the USA take on Germany Obama akiwa na mshauri wake ndani ya Air Force One wakiishuhudia timu ya taifa ya Marekani ikipambana na Ujerumani na kuambulia kipigo.
Getting his message across: Elio Di Rupo's tweet went down well on Twitter Huu ndio ujumbe wa waziri mkuu wa Ubelgiji kwa Raisi wa Marekani Barack Obama kwenye ukurasa wake wa tweet.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!