Kiungo mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ubelgiji na mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea Kevin De Bruyne akipiga mpira uliotinga kimiani moja kwa moja na huku mabeki wa Marekani wakijitahidi kumkaba bila mafanikio.
Wachezaji wa Ubelgiji wakimpongeza Romelu Lukaku baada ya kufunga goli la pili.
Mchezaji kinda wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Marekani aliiweka roho juu Ubelgiji baada ya kufunga goli safi dakika kumi kabla ya mechi kumalizika ambapo mechi hiyo ilikwenda dakika 120 baada ya kumaliza dakika 90 wakiwa suluhu ya bila kwa bila.
0 comments:
Chapisha Maoni