Searching...
Jumatano, 2 Julai 2014

SITAKI KWENDA LIVERPOOL,NATAKA ARSENAL-NYOTA WA KOMBE LA DUNIA

ule msemo wa wahenga kwamba mwenye bahati habahatiki ndio unaendelea kutimia kwa mzee wetu kocha mbahili duniani mfaransa mpenda pesa kuliko wachezaji Arsene Wenger pale anapobahatika kwa kusikia kauli njema kutoka kwa mchezaji nyota wa Barcelona Alexis Sanchezi anapoikatalia klabu yake ya Barcelona kwenda Liverpool na kuweka wazi kwamba anaitaka Arsenal huku mzee Wenger akiwa amelala usingizi wa pono.
Alexis Sanchez is ready to throw a spanner in the works of Barcelona's attempts to sign Luis Suarez by refusing to join Liverpool.
Barca are keen to use the Chile international as a makeweight in their pursuit of Suarez - but Sanchez is understood to prefer a move to rivals Arsenal.
And Gunners boss Arsene Wenger is set to grant the South American his wish by launching a move for the attacking midfielder.
No go: Alexis Sanchez says he would rather join Arsenal than Liverpool
Missed opportunity: Sanchez missed in the penalty shoot out against Brazil as Chile were knocked out Alexis Sanchez akifanya vituko baada ya kukosa Penalti dhidi ya Brazili ambayo iliwatupa nje ya michuano ya kombe la dunia huko nchini Brazili.
Fan: Arsenal boss Arsene Wenger is keen to launch a bid for Sanchez Mzee mbahili Arsene Wenger ni kama vile hajui lolote linaloendelea katika ulimwenngu wa usajili kwani mpaka sasa hivi hajaonyesha cheche zozote kama makocha wenzake wa Chelsea,Man U,Liverpool na Man City.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!