Searching...
Jumatano, 2 Julai 2014

OBAMA AWAONGOZA MAELFU WAPENDA SOKA MAREKANI KUISHANGILIA MAREKANI

Yeeeeeeees we Can....Ndio tunawezaaaaa, Rais Obama akiingia uwanjani kuungana na wamarekani wenzake kushuhudia mechi kati ya Ubelgiji na Marekani kwenye luninga.
Maelfu ya wapenzi na mashabiki wa soka wa Marekani wakiongozwa na raisi wao Barack Obama wakiwa sehemu mbalimbali hapa Rais obama akiwa na maofisa wa ikulu wakiangalia mpira eneo la Eisenhower Executive Office kwenye jengo la  Washington jana jumanne kuishangilia timu yao ilipovaana na Ubelgiji kuitafuta tiketi ya kucheza hatua ya robo fainali ya kombe la dunia nchini Brazili lakini waliishia kulambwa mabao 2-1 na kuwaruhusu Ubelgiji kusonga mbele.Let's go: The Solider Field NFL stadium in Chicago is filled with around 20,000 USA fans
Maelfu wa mashabiki wa timu ya taifa ya marekani wakiwa wamejazana kwenye uwanja wa jeshi wa NFL Chikago kuishuhudia timu yao ikichuano na timu ya taifa ya Ubelgiji katika michuano ya kombe la dunia.
Red, white and blue: US fans from Chicago cheer as they await kick-off between their national team and Belgium
Maelfu ya wapenzi na mashabiki wa soka wa Marekani wakiongozwa na raisi wao Barack Obama wakiwa sehemu mbalimbali hapa wakiwa eneo la Arena Fonte Nova jana jumanne kuishangilia timu yao ilipovaana na Ubelgiji kuitafuta tiketi ya kucheza hatua ya robo fainali ya kombe la dunia nchini Brazili lakini waliishia kulambwa mabao 2-1 na kuwaruhusu Ubelgiji kusonga mbele.

Hardcore: This USA fan certainly believes that his team can defeat Belgium on Tuesday
Shabiki akiwa amejiandika kichwani anaiamini timu yake.
Cowboys: Thousands of fans look up to watch  on the large video screen during a World Cup party at the AT&T stadium in Dallas
Uwanja wa AT&T huko Dallas nchini Marekani ukiwa umefurika maelfu ya mashabiki wa soka wakiishangilia timu yao ikicheza dhidi ya Ubelgiji huko nchini Brazili na kuambualia kipigo cha mabao 2-1.

Sportsmen: Even the baseball players back home in American can't take their eyes of the action
Hawa sio walinzi bali ni wachezaji wa timu ya taifa ya baseball nao wakishuhudia kipute kwenye luninga.
No room to move: The American public turned out in their thousands to prove soccer is alive and well in the USA
Kitendo cha maelfu wa mashabiki wa soka kujumuika pamoja kuangalia mpira kwenye luninga sio kwamba hawana video au ving'amuzi kwao bali ni desturi ya marekani ya kuonyesha umoja wao na utaifa wao kwamba kama ni kufa wanakufa wote na kama ni kushinda wanashinda wote.


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!