Etoo alitarajia kuongeza mkata wa mwaka mwingine mmoja lakini kocha wa Chelsea Jose Mourinho hakufurahishwa na kiwango chake msimu uliopita ambapo ilifika wakati Mourinho alisema inawezekana Etoo amedanganya umri kwani anaonekana ni kijeba(kizee)tofauti na umri wake wa miaka 33.
NINATAKIWA NA TIMU NYINGI DUNIANI,ILA MAREKANI NAPAPENDA ZAIDI.
Etoo alitarajia kuongeza mkata wa mwaka mwingine mmoja lakini kocha wa Chelsea Jose Mourinho hakufurahishwa na kiwango chake msimu uliopita ambapo ilifika wakati Mourinho alisema inawezekana Etoo amedanganya umri kwani anaonekana ni kijeba(kizee)tofauti na umri wake wa miaka 33.

0 comments:
Chapisha Maoni