Baada ya tetesi zilizodumu kwa muda mrefu sasa za kiungo mtaalamu Adam Lallana kutakiwa na vilabu mbalimbali hatimaye leo jumatano mchezaji huyo amemalizana na Liverpool na sasa kilichobaki ni kutoa huduma kamili kwa vijogoo hivyo vya Anfield.
KIUNGO WA EVERTON ATUA RASMI LIVERPOOL
Baada ya tetesi zilizodumu kwa muda mrefu sasa za kiungo mtaalamu Adam Lallana kutakiwa na vilabu mbalimbali hatimaye leo jumatano mchezaji huyo amemalizana na Liverpool na sasa kilichobaki ni kutoa huduma kamili kwa vijogoo hivyo vya Anfield.
0 comments:
Chapisha Maoni