Searching...
Jumamosi, 5 Julai 2014

MFUNGAJI BORA KOMBE LA DUNIA ATUPWA NJE,ALIA MACHOZI.


Green machine: The insect was on James Rodriguez after he scored Colombia's penalty against Brazil Mfungaji bora wa michuano ya kombe la dunia huko nchini Brazili Mkolombia James Rodriguez ameyaaga mashindano hayo baada ya kutolewa kwa timu yake na Brazili huku akiondoka na magoli 6 kibindoni baada ya jana kufunga goli zuri la penalti.
Incoming: The green bug can be seen flying towards Rodriguez during the World Cup semi-finalMchezaji kinda na mfungaji bora James Rodriguez hatutomuona tena kombe la dunia baada ya Columbia kufungashiwa virago na Brazili.
Look closely: You can see the invader clinging to Rodriguez's sleeve as he celebrates his penalty James Rodriguez akishangilia goli lake la penalti dhidi ya Brazili jana japo walitupwa nje ya michuano kwa 2-1
Silva lining: Brazil captain Thiago Silva celebrates scoring the opening goal from a corner Nahodha wa Brazili Thiago Silva akishangilia goli aliloifungia Brazili dakika ya 12 yas mchezo ila ataikosa mechi ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani baada ya kupewa kadi mbili za njano.


Hard to take: Brazil defender David Luiz consoles Rodriguez at the end of the match in Fortaleza Beki wa Brazili David Luiz akimpa pole James Rodriguez baada ya filimbi ya mwisho na Columbia kutolewa nje ya michuano na kuwaacha Brazili wakitinga nusu fainali.

Three tears for James: Rodriguez is hugged by his manager Jose Pekerman after losing to Brazil Kocha wa Columbia Jose Pekerman akimfariji James Rodriguez baada ya dakika 90 kumalizika na kung'olewa mashindanoni.
Mungu akitupa uhai tutamuona Rodriguez kwenye kombe la dunia 2018 nchini Urusi kama Columbia watafuzu.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!