Searching...
Jumamosi, 5 Julai 2014

MASIKINIIII,HAUTOMUONA TENA NEYMAR KOMBE LA DUNIA

Agony: Neymar lies in agony after being kneed in the back just three mintues from the end
Nyota wa timu ya soka ya Brazil na kipenzi cha Wabrazili Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada kupata jeraha katika mchezo kati ya Brazili na Columbia,mchezo ambao walishinda 2-1
Stretchered off: Neymar is carried away by medics leaving all Brazilian fans in a state of panic
Kipenzi cha wabrazili Neymar akitolewa nje kwa machela ikiwa ni dakika tano tu kabla mpira kumalizika kitendo ambacho kimewachanganya na kuwasononesha mashabiki,viongozi na wachezaji wenzake wa Brazili.
Carried away: Neymar was stretchered off the pitch and taken to hospital after Brazil's quarter-final win
Taarifa ya Daktari wa Brazili zinasemaMfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo ilivunjika katika mechi ya ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Colombia.
The damage: Brazilian television stations obtained an x-ray of Neymar's back and highlighted the broken bone
Hiyo ni picha ya X-ray ikionyesha mfupa wake wa uti wa mgongo uliovunjika.


none
Cynical: With the ball nowhere near Juan Zuniga smashes his knee into the lower part of Neymar's back
 Neymar aligongwa upande wake wa nyuma na mchezaji wa Columbia Juan Zuniga dakika tano tu kabla ya mchuano huo wa robo fainali kukamilika.

Man down: The Barcelona forward falls to the ground after the challenge that rules him out of the semi-final
Ni masikitiko makubwa kwa Brazili kumkosa nyota wao kwenye fainali dhidi ya Ujerumani lakini kwa hakika ni taarifa njema kwa Wajerumani kwani ni moja ya ahueni kwao kutinga fainali.
 ndani ya hosiptali tayari kwa matibabu.
Anxious wait: Brazil fans sit outside the Sao Carlos Hospital after Neymar is taken in
Mashabiki wa timu ya Brazil wakiwa nje ya hosiptali ya Sao Carlos Hospital ambapo kipenzi chao kimelazwa wakisubiri majibu ya daktari.
Bittersweet: The elation at the victory was soon dampened as news filtered through of Neymar's injury
Jinsi muda ulivyokua unakwenda ndivyo mashabiki walizidi kuongezeka nje ya hosiptali hiyo kama wanavyoonekana hapo juu.
Complaints: Defender Marcelo gesticulates as his team's star man lies prone on the ground in Fortaleza
Ukiachilia mbali Brazil kumkosa Neymar nusu fainali dhidi ya Ujerumani lakini pia itaendelea kushiriki katika mashindano hayo bila nahodha wake Thiago Silva katika mchuano wa nusu fainali dhidi ya Ujerumani baada ya mchezaji huyo kupewa kadi ya pili ya Njano.
Treatment: Neymar was seen to on the pitch but had to be removed on a stretcher in the quarter-final
Neymar akipatiwa Huduma ya kwanza,huku akiugulia maumivu makali.

Perfect 10: Brazil fans were pinning their hopes on Neymar producing the goods in the latter stages
Kabla ya habari hizo za Neymar kutolewa raia wa Brazil walifurika katika barabara za taifa hilo kusherehekea ushindi wa timu yao,kabla ya kufunga safari hadi hosiptali kumuona mgonjwa.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!