Searching...
Jumamosi, 5 Julai 2014

MASUMBWI-MAYWETHER JR KURUDIANA NA MAIDANA SEPTEMBER,2014

Flash: Floyd Mayweather was at the BET Awards as he announced plans for his next fightFloyd Mayweather Jnr amesema mipango yake ya kuzichapa na mwanamasubwi mwenzake Marcos Maidana inaenda vizuri na mechi hiyo itachezwa tarehe 13-09-2014huko jijini Las Vegas nchini Marekani.
 Mpambano huo kati ya Marcos Maidana na Mayweather utakua ni mpambano wa marrudiano baada ya ule wa kwanza uliochezwa mwezi wa tatu mwaka huu na Mayweather kuibuka mshindi kwa poiti.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!