Searching...
Jumapili, 29 Juni 2014

RADAMEL FALCAO AENDELEZA BATA MIAMI NA FAMILIA YAKE.

Family man: Colombia's Radamel Falcao with his wife and daughter in Miami
Mshambuliaji nguli wa timu ya taifa ya Colombia na klabu ya Monaco Radamel Falcao baada ya kuwa majeruhi na kushindwa kujiunga na wenzake katika mashindano ya kombe la dunia huko nchini Brazili ameamua kujichimbia kwenye fukwe za Miami kula raha na mke wake na binti yake mdogo huku akiendelea kufuatilia fainali za kombe la dunia kupitia kwenye luninga.
Sidelined: Falcao is currently injured and unable to take part in the World Cup
Radamel Falcao akiwa amepozi na mke wake huku binti yao mdogo akiwa amelala
Splashing time: Falcao greets another holidaymaker as he exercises his knee in the ocean
Falcao akifanya mzaha na mmoja wa watalii katika fukwe ya Miami nchini Marekani.
Muscle bound: The Monaco striker chats with locals during his break in America
Furaha ya kula bata ni kujumuika na wenzako
Home time: Falcao with his wife Lorelei Taron and baby daughter Dominique
Radamel Falcao na mkewe Lorelei Taron pamoja na binti yao Dominique wakiondoka maeneo ya fukwe kuelekea hotelini kuangalia michuano ya kombe la dunia.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!