Searching...
Jumapili, 6 Aprili 2014

TAZAMA PICHA ZA AJALI YA LORI ILIYOTOKEA NGARA


Ajali hiyo imetokea Aril 04,2014,majira ya saa nne Asubuhi katika Barabara kuu ya Ngara-Benaco eneo la mteremko wa Kojifa mjini Ngara ambapo Dereva wa Lori hilo amesema kuwa alikuwa akiteremka kwa mwendo wa kawaida na ndipo lilipomshinda na kumgeuza alipo toka.Katika ajali hiyo hakuna mtu yeyete alijeruhiwa wala kupoteza maisha..Picha Na Mdau wetu:-Boaz Zobanya-Ngara.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!