Searching...
Jumapili, 23 Machi 2014

HIVI NDIVYO SIMBA WALIVYOCHEZEA KIPIGO UWANJA WA TAIFA KUTOKA KWA COAST

Mpira umemalizika Simba Kuchapwa Bao 1 Dhidi ya Coastal Union Mpira Ulikuwa wa Nguvu na wakushambuliana kwa Zamu.Coastal Union Walipata Goli Kipindi cha kwanza baada ya Kutokea Piga Nikupige Katika Lango La Simba.Simba waliingia Kipindi cha Pili kwa Kufanya mabadiliko walielekeza Mashambulizi Kwenye Lango la Coastal Union lakini Hawakufanikiwa Kupata Goli lolote Hadi Mwisho wa Mchezo Simba 0 Coastal Union 1

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!