Searching...
Alhamisi, 27 Februari 2014

MATOKEO KLABU BINGWA ULAYA,DROGBA AWATOA JASHO CHELSEA,MADRID WAFANYA MAUAJI YA KUTISHA,BALE,RONALDO NA BENZEMA WANG'ARA

Drogba set to slay Chelsea after draw 
Mchezaji wa zamani wa Chelsea kwa sasa akikipiga na klabu ya Galatasaray ya Uturuki akipambana na mabeki ama walinzi wa Chelsea katika mechi kali iliyopigwa jana usiku na timu zote kutoshana nguvu kwa kutoka suluhu ya 1-1.
 Galatasaray v Chelsea 
Mshambuliaji wa Chelsea Fernando Torress akipiga mpira uliokwenda moja kwa moja kimiani na kuiandikia Chelsea bao la kuongoza.
Galatasaray AS v Chelsea - UEFA Champions League Round of 16 
Mshambuliaji wa Chelsea Fernando Torress akishangilia baada ya kuipatia timu yake bao katika mechi yao ya klabu bingwa ulaya dhidi ya timu ngumu ya Galatasaray ambapo walitoshana nguvu kwa suluhu ya bao 1-1
 Galatasaray v Chelsea
Mchezaji wa zamani wa Chelsea kwa sasa akikipiga na klabu ya Galatasaray ya Uturuki akipongezana na beki wa Chelsea Ivanovic wakati wa mechi kali iliyopigwa jana usiku na timu zote kutoshana nguvu kwa kutoka suluhu ya 1-1.
Galatasaray manager Roberto Mancini 
Kocha wa Galatasaray Roberto Manchin akitoa maelekezo kwa vijana wake wakati wa mpambano wao dhidi ya matajiri wa London Chelsea.
Galatasaray v Chelsea Hapa ni kama Mourinho anamuambia Mancin Tutakutana darajani....
 Gareth Bale 
Gareth Bale akishangilia goli lake la kwanza.
 Gareth Bale and Cristiano Ronaldo 
Wachezaji Ghali Duniani Christian Ronaldo na Gareth Bale wakishangilia moja ya magoli yao kati ya magoli sita waliowatungua Shalke 6-1 ambapo Ronaldo,Bale na Benzema walifunga magoli mawili kila mmoja na kujihakikishia kufuzu nafasi ya robo fainali ya michuano hiyo tajiri duniani.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!