Searching...
Jumatano, 19 Februari 2014

KIONGOZI WA UPINZANI DRC AITIKISA SERIKALI YA RAIS KABILA.

Kiongozi wa Upinzani wa DRC Vital Kamerhe aliyeshindwa Uchaguzi 2011 atembelea Beni huko Kivu kaskazini na kulakiwa na maelfu ya watu.
 Kiongozi huyo akiingia mkutanoni.
 
Vital Kamerhe akiwa mjini Beni tayari kuhutubia maelfu ya wakongo.
 Jasiri haachi asili,wananchi wa kawaida wakirudi mangoma katika mkutano huo
 Mbunge wa chama cha UNC MBINDULE MITONO akihutubia raia pa Beni Huko Kivu kaskazini akimwaga Sera  mkutanoni.
 
Vital Kamerhe kiongozi wa chama cha upinzani UNC akimsikiliza mbunge wake kijana akimwaga sumu mkutanoni.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!