Wachezaji wa Olympiakos wakishangilia moja kati ya magoli mawili katika mechi ya klabu bingwa ulaya dhidi ya Manchester United jana usiku.
Juu na chini ni mshambuliaji wa Arsenal Joel Campbell anayechezea kwa mkopo katika klabu ya Olimpiakos akishangilia goli lake alilowafunga Manchester United katika mechi ya klabu bingwa ulaya ambapo man U walilala kwa mabao 2-0
Raha ya goli kushangilia.
Raha ya goli kushangilia.
Kocha wa Manchester United David Moyes akitoka uwanjani kichwa chini baada ya kupokea kipigo kibaya cha 2-0 kutoka kwa Olimpiakos katika mechi kali ya klabu bingwa ulaya.
Kiungo wa Olympiakos Alejandro Dominguez kati kati akishangilia goli lake dhidi ya Manchester United usiku wa kuamkia hii le.
Nyota wa Manchester United Wayne Rooney, Michael Carrick na Robin van Persie wakiwa hoi baada ya kuchapwa goli la pili na timu ya Olympiakos ya Ugiriki.
Mchezaji wa mkopo wa Arsenal anayekipiga na klabu ya Olympiakos Joel Campbelbell Akiwatoka wachezaji wa Manchester United katika mechi ya klabu bingwa ulaya ambapo Man United walilala kwa magoli 2-0
CHINI : VIDEO YA GOLI LA JOEL CAMPBELL .
0 comments:
Chapisha Maoni