Kama vile walivyosema wahenga,Ng'ombe wa masikini hazai,dakika ya 90 Daniel Alves aliihakikishia timu yake ya Barcelona ushindi baada ya kupachika bao zuri baada ya kuwazidi maarifa mabeki wa city na kumpiga tobo golikipa wa City Joe Hart
Jumatano, 19 Februari 2014
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni