WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 09/12/2013.
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
[Mkoa wa Morogoro]:
[Mikoa ya Dar-Es-Salaam, Pwani
na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
![]() |
Hali
ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo
mengi na vipindi vifupi vya jua
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
|
![]() |
Hali
ya mawingu, mvua na ngurumo katika
baadhi ya maeneo na vipindi vifupi
vya jua
|
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
[Mikoa ya Kigoma, Iringa,
Mbeya na Rukwa]:
[Mikoa ya Ruvuma, Shinyaga
na Tabora]:
[Mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza]:
|
![]() |
Hali ya mawingu Kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
ANGALIZO: ONGEZEKO
LA MVUA LINATEGEMEWA KATIKA MAENEO MENGI YA MIKOA YA DAR ES SALAAM,
TANGA,VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA,LINDI, MTWARA NA MOROGORO.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
25°C
|
12:31
|
D'SALAAM
|
30°C
|
12:27
|
DODOMA
|
33°C
|
12:36
|
KIGOMA
|
28°C
|
01:02
|
MBEYA
|
27°C
|
12:53
|
MWANZA
|
28°C
|
12:44
|
TABORA
|
29°C
|
12:50
|
TANGA |
31°C
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:27
|
PEMBA
|
30°C
|
12:25
|
MOROGORO
|
31°C
|
12:34
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Magharibi kwa
kasi ya km 30 kwa saa kwa
Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa pwani
ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi makubwa kiasi.
Matazamio kwa usiku wa leo Jumatatu:
09/12/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 09/12/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni