Aliyekuwa Freemason kwa miaka 14 afunguliwa katika mkutano wa Ufufuo na
Uzima unaoendelea Moshi; alikatwa kidole akiwa mdogo kama udhihirisho wa
alama yao (devil horns)
alieleza mwenyewe mbele ya waliokuwepo mkutanoni maelfu ya watu wa mkoa
wa Kilimanjaro na vitongoji vyake wanaohudhuria mkutano huo katika
viwanja vya mashujaa unaoongozwa na mchungaji Josephat Gwajima wa kanisa
la Ufufuo na Uzima lenye makao makuu yake Kawe jijini Dar es salaam.
 |
| Binti wa
kiislamu ambaye aliwekwa ndani ya bahari kwa miaka mingi; alipokea
ukombozi wake mara baada ya maombezi. Kule baharini alikuwa ameolewa na
jini ambaye alimweka awe malkia wa baharini kwa miaka mingi... Mungu
akamrudisha baada ya maombezi na kumpokea Yesu Kristo. |
 |
| Njia ni moja tu nayo ni YESU, askofu Gwajima akifundisha mkutanoni. |
 |
| Flora Mbasha na mumewe wapo sambamba na wana Ufufuo na uzima mkoani Kilimanjaro.
|
 |
| Mchungaji kiongozi Josephat Gwajima akiowaongoza kwa maombi wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro. |
0 comments:
Chapisha Maoni