 |
| Washiriki
wa Rock City Marathon 2013 wakichuana vikali kuisaka nafasi za ushindi
wa mbio hizo ili kujinyakulia zawadi mbalimbali zilizoanishwa na
wadhamini wa michuano hiyo ambao iliandaliwa na ampuni ya Capital Plus
International Limited kwa kushirikaina na wadhamini mbalimbali. |
 |
| Mshindi wa
kwanza wa mbio za Rock City Marathon 2013 kilomita 21 kwa upande wa
wanaume Alphonse Felix kutoka mkoani Arusha akimalizia mbio hizo kwenye
uwanja wa CCM Kirumba ambapo alitumia saa 1:02:17 na kufanikiwa kuvunja
rekodi iliyowekwa mwaka jana na Opio Chacha aliyetumia saa 1:05:47. |
 |
| Afisa
Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa hifadhi wa jamii NSSF Bi. Theopista
Mheta akimkabidhi zawadi ya shilingi 1,500,000/= mshindi wa kwanza mbio
za Rock City Marathon kilomita 21kwa upande wa wanaume Alphonse Felix
ambaye pia alijinyakulia zawadi ya tiketi ya ndege toka moja wa
wadhamini wa mbio hizo Precission Air, ya kuelekea Dar es Salaam na
kurudi mkoani kwake Arusha. |
 |
| Afisa
Mauzo wa King’amuzi cha Continental, Dominic Kiluma akikabidhi zawadi
ya king’amuzi kwa Joel Kimbiaye toka Kenya mara baada ya kuibuka mshindi
wa nafasi ya pili mbio za Rock City Marathon 2013 ambapo pia mshiriki
huyo alijinyakulia kitita cha shilingi 900,000. |
 |
| Afisa
Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa hifadhi wa jamii NSSF Bi. Theopista
Mheta akikabidhi zawadi ya shilingi 700,000/= mshindi wa tatu katika
mbio za Rock City Marathon kilomita 21, Andrew Sambu ambaye pia
alijinyakulia king’amuzi cha Continental. |
 |
| Afisa
Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa hifadhi wa jamii NSSF Bi. Theopista
Mheta akimkabidhi zawadi ya shilingi 1,500,000/= mshindi wa kwanza mbio
za Rock City Marathon kilomita 21 kwa upande wa wanawake Vicoty
Chepkemoi kutoka Kenya. |
 |
| Afisa
Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa hifadhi wa jamii NSSF Bi. Theopista
Mheta akimkabidhi zawadi ya shilingi 900,000/= mshindi wa pili wa mbio
za Rock City Marathon kilomita 21 wanawake Sarah Ramadhan ambaye pia
alinyakuwa king’amuzi cha Continental. |
 |
| Afisa
Mauzo wa King’amuzi cha Continental Dominic Kiluma akikabidhi zawadi
ya king’amuzi kwa mshindi wa tatu mbio za Rock City Marathon 2013
wanawake, Zakia Mrisho ambaye pia alijinyakulia kiasi cha shilingi
700,000/= |
 |
| Washiriki kutoka Australia wakimaliza mbio za kilomita 21. |
 |
| Baadhi ya raia wa nchi za kigeni wakipumzika baada ya kumaliza mbio za Rock City Marathon |
 |
| Meneja
Uhusiano wa Airtel Bw, Jackson Mmbando akimpongeza mshindi wa kwanza
wa mbio za kilomita 2, Benedicto Mashauri wa mwanza, baada ya
kuwashinda watoto wenzake 284 walioshiriki mbio za Rock City Marathon
2013 |
 |
| Mkurugenzi
wa Club ya Holili Youth Athletics iliyoko mkoani Kilimanjaro wilayani
Rombo Domian Rwezaura Janand, akitamba mara baada ya mashindano kwa
washiriki toka kambi yake kufanya vyema kwenye mbio za Rock City
Marathon 2013 |
 |
| Sehemu ya watoto waliowakilisha walioshiriki mbio za Rock City Marathon 2013. |
=======
WANARIADHA Alphonce
Felix kutoka Arusha na Vicoty Chepkemoi kutoka Kenya wameibuka vinara
katika mashindano ya riadha ya kilometa 21 yanayojulikana kama ‘Rock
City Marathon 2013’ yaliyofanyika Jijini Mwanza jana Jumapili
nakujinyakulia Shilingi milioni moja na nusu (Sh 1.5 m) kila mmoja.
Alphonce alishinda mbio hizo
kwa upande wa wanaume baada ya kutumia saa 1:02:17 hivyo kuvunja rekodi
iliyowekwa mwaka jana na mwanariadha Kopiro Chacha aliyetumia
0 comments:
Chapisha Maoni