WAZIRI MKUU ASAHAU MKOBA WENYE NYARAKA ZA OFISI YAKE KWENYE TRAIN
Home
»
Unlabelled
» WAZIRI MKUU ASAHAU MKOBA WENYE NYARAKA ZA OFISI YAKE KWENYE TRAIN
Katika hali ya kushangaza Waziri mkuu wa Uingereza Bwana David Cameroon amesahau mkoba wake mwekundu ukiwa na nyaraka nyingi za siri za ofisi yake wakati akiwa njiani akiwa anasafiri kwa njia ya train.
0 comments:
Chapisha Maoni