![]() | ||||
Mkurugenzi mkuu wa Airtel Nigeria Segun Ognsanya Katikati akiwakabidhi captain wa timu ya wasichana Tanzania na kocha wa timu ya wasichana Rogacian Kaijage zawadi za ushindi mara baada ya kuibuka mabigwa wa michuano ya Airtel Rising stars ya Afrika |
![]() |
Wachezaji wa timu ya wasichana ya Tanzania ya Airtel Rising stars wakishangilia ushindi |
0 comments:
Chapisha Maoni