Searching...
Jumapili, 22 Septemba 2013

TAFADHALI SANA,HIZI NI PICHA ZA MAJERUHI NA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO LA KENYA ZINATISHA.

Kenya mall attackMwili wa Mtu mmoja aliyeuwawa kwenye shambulio la jana jijini nairobi nchini Kenya ukiwa umelala chini huku damu zikiwa zinatiririka.
 Kenya mall attackmmoja wa majeruhi wa shambulio la jana 21.09.2013 akiwa anawahishwa kupatiwa matibabu.
Kenya mall attackmaofisa wa usalama wakiwa wamembeba mama mmoja mjamzito ambaye alijeruhuwa na risasi katika shambulio hilo.
 Kenya mall attackhali ilikua ni yakutisha sana,maana kila mahali ilikua ni damu.
Kenya mall attackdada mmoj akiwa amebebwa na maofisa wa usalama baada ya kujeruhiwa na risasi na kundi la magaidi wa kikundi cha alshabaab jana katika duka la westgate jijini Nairobi.
 Kenya mall attackMajeruhi akipakiwa kwenye gari la kubebea wagonjwa tayari kuwahishwa hosiptalini kwa matibabu baada ya kujeruhiwa na magaidi wa alshabaab jana jijini Nairobi.
Kenya mall attackmtu mmoja akiwa ameuwawa huku watoto wadogo wawili wakiwa hawajui wafanye nini baada ya kupotezana na wazazi wao baada ya shambulio hilo la kigaidi lililofanywa na kundi la alshabaab jana jijini Nairobi.
 Kenya mall attackKijana mmoja akiwa analia kwa uchungu baada ya kupigwa risasi na washambuliaji hao huku miili mingine ya marehemu ikiwa imelala kwa pembeni.
Kenya mall attackjapo haikufahamika kwa haraka lakini inaonekana hawa walikua ni mtu na mke wake au mchumba wake,na wote walikufa papo hapo tazama pia matobo ya risasi ukutani.
 Kenya mall attackkijana mmoja aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu nje ya duka hilo jana.
Kenya mall attackaskari wakimsaidia majeruhi mmoja aliyepigwa risasi nyingi miguuni na kuvunjika mguu wa kushoto.
 Kenya mall attackmwili wa marehemu ukiwa umelala chini katika lango kuu la kuingilia katika duka hili jijini Nairobi jana baada ya shambulio la risasi lililofanywa na kundi la kigaidi la alshabaab.
Kenya mall attackmtu mmoja akiwa amejeruhiwa vibaya na risasi mgongoni lakini anajikongoja pole pole 
 Kenya mall attackmsamaria mwema mmoja akiwa amembeba dada mmoja aliyejeruhiwa mguuni kwa risasi.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!