Searching...
Alhamisi, 19 Septemba 2013

MWENYEKITI WA CHADEMA ALIYEHUKUMIWA JELA,ASHINDA RUFAA,ARUDI MTAANI KWA MBWEMBWE

Gari lililombeba mwenyekiti wa CHADEMA kijiji cha Ivalalila Godfrey Mahenge likiondoka gereza la Ndulamo mara baada ya kushinda rufaa ya hukumu iliyotolewa awali ya kifungo cha miezi 9 jela.
 Msafara wa pikipiki ukiongoza gari lililombeba mwenyakiti huyo.
 Wakazi wa kijiji cha Ivalalila wakishangilia mara baada ya mwenyekiti wao kufika kijijini hapo kutoka gerezani alikokuwa
 Mwenyekiti Godfrey Mahenge akiwapungia mkono wananchi
 Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Makete Shaaban Mkakanze akizungumza na wananchi waliofika kwenye eneo la Ivalalila.
 Godfrey Mahenge akizungumzia furaha aliyonayo baada ya kutoka jela

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!