Mchezaji wa kimataifa wa Ivory coast Didier Drogba amemtumia Romelu Lukaku ujumbe mzito kufuatia kukosa penalti katika kombe la Super Cup katika mechi ya fainali dhidi ya Bayern Munich penalti iliyowapa ubingwa Munich baada ya kwenda dakika 120 na kutoka sare ya mabao 2-2.
Romelu Lukaku baada ya kukosa penalti.
Wachezaji na viongozi wa Chelsea wakimfariji Lukaku baada ya kukosa penalti.Didie Drogba
Didie Drogba ametuma picha akiwa na Lukaku kwenye mtandao wa Instagram ikiwa na ujumbe huu 'Kwa wale tu ambao hawapigi penalti ndio hawakosi penalti,lakini wewe!! Only those who don't take a penalty never miss and
you were strong enough to do it.
'kwa sasa unajifunza,kama mimi nilivyojifunza wakati nilipopewa kadi nyekundu kwenye fainali kule Moscow au katika nusu fainali dhidi ya Barcelona!!!
'endelea kufanya kazi kwa bidii,kwasababu nakuhakikishia siku nzuri zinakuja.Wewe ni Chelsea, wewe ni blues na blues kamwe hawakati tamaa.'
Mtambo wa magoli Drogba kwa sasa akikipiga na timu ya Galatasary ya uturuki.
Kipindi hicho Drogba akiwa Chelsea.
0 comments:
Chapisha Maoni