Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza na Watendaji Wakuu wa Jeshi la
Polisi Makao Makuu pamoja na Kanda Maalumu ya Dar es Saalam ofisini kwake
jijini Dar es Salaam leo. Wa pili kutoka kushoto ni Kamishna wa Kanda Maalumu
ya Dar es Salaam (CP) Suleiman Kova.
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza na Watendaji Wakuu wa Jeshi la
Polisi Makao Makuu pamoja na Kanda Maalumu ya Dar es Saalam ofisini kwake
jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kamishna wa Utawala, Rasilimali na Fedha
wa Jeshi la Polisi, Clodwing Mtweve.
(Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi).
0 comments:
Chapisha Maoni