Askari polisi wa usalama barabarani akimsaidia mtoto mdogo ambaye alikuwepo kwenye ajali hiyo
Nesi akiendelea kuwapima afya zao majeruhi wa ajali hiyo
Madaktari wakiendelea kuhangaika kuokoa maisha ya majeruhi
Ni kama wanasema..hapa sijui tufanyeje,yaani tuanzie wapi tumalizie wapi
Mmoja wa majeruhi akiwa hoi kwenye kitanda cha kubebea wagonjwa
Ama kweli uchungu wa mwana aujuaye mama,yaani hapa huyu traffic ni kama anatamani kuwa daktari ghafla amtibu huyu mtoto
...............
ABIRIA 28 WAMEJERUHIWA NA KATI
YAO SITA WALIKUWA KATIKA HALI MBAYA ZAIDI NA WAMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA
RUFAA YA MKOA WA TABORA KITETE.
AKIZUNGUMA
WAKATI AKIENDELEA KUTOA HUDUMA YA KUWASHONA MAJERUHI MAKUBWA KATIKA
MIKONO, DOCT JOEL HOZA AMESEMA KUWA HAKUNA MTU YOYOTE ALIYEPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI HIYO.
KAMANDA
WA POLISI MOANI TABORA KAMISHNA MSAIDIZI WA POLISI
PITER OUMA AMELITAJA GALI LILILOPATA AJALI KUWA NI LA KAMPUNI YA RADACK LENYE NAMBA ZA USAJILI T
918 ALG. NA DEREVA HAKUMTAJA JINA KWA KUWA ALITOROKA MUDA MFUPI TU BAADA YA KUTOKEA AJALI HIYO.
0 comments:
Chapisha Maoni