Katibu wa Jumuiya na Taasisi za
Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda (wa pili kulia), ambaye kwa sasa anakabiliwa na tuhuma za
uchochezi, akitolewa kutoka hosiptali ya mifupa Moi katika kitengo cha
mifupa MOI jijini Dar es Salaam majira ya asubuhi leo tayari kabisa kuelekea gereza la segerea
Alhamisi, 15 Agosti 2013
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

0 comments:
Chapisha Maoni