Searching...
Jumatano, 31 Julai 2013

VALENCIA WATANGAZA DAU LA KUMNG'OA TORRES CHELSEA

Valencia offer Fernando Torres Chelsea escape route after Olivier Giroud no-goFERNANDO TORRES-CHELSEA.
Klabu ya Valencia ya Hispania imetangaza dau nono la kumtaka Fernando Torres ili kuziba pengo la Roberto Soldado ambaye ameonyesha kila dalili ya kutua Tottenham kwa kitita cha paundi milioni 25.8.
Bosi wa Valencia Miroslav Duckic ameamua kuelekeza juhudi zake kwa Torres baada ya kujaribu bila mafanikio kumnasa mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud, na vile vile juhudi za kumnasa mshambuliaji wa  Real Zaragoza mreno Helder Postiga kugonga mwamba.
Competition: The possible arrival of Wayne Rooney could hasten Torres' Chelsea departure (Picture: PA)
WAYNE ROONEY.
Valencia wanaonekana wanaweza wakabahatika kumnasa Torres kiurahisi sana baada ya uwezekano wa Chelsea kumnasa Wayne Rooney na hivyo kuonekana hana nafasi ten,Fernando Torres amekuwa katika wakati mgumu Chelsea tangu atue akokea Liverpool kwa kitita kilichovunja rekodi cha paundi milioni 50 mwaka 2011

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!