WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 20/07/2013
[Mikoa ya Tanga ,Dar es
Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
Hali ya mawingu kiasi,mvua
nyepesi katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Kagera, Mara
na Mwanza]:
|
Hali ya mawingu kiasi ,
ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Shinyanga,Dodoma
na Singida]:
[Mikoa ya Tabora,Morogoro
na Kigoma]:
[Mikoa ya Iringa, Mbeya,
Rukwa na Ruvuma]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
12:36
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:19
|
DODOMA
|
28°C
|
12:35
|
KIGOMA
|
29°C
|
01:01
|
MBEYA
|
22°C
|
12:39
|
MWANZA
|
28°C
|
12:51
|
TABORA
|
30°C
|
12:49
|
TANGA |
29°C
|
12:24
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
12:19
|
PEMBA
|
28°C
|
12:24
|
MOROGORO
|
28°C
|
12:26
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka
Kusini kwa
Pwani ya Kaskazini na kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi
Matazamio kwa usiku wa Jumamosi:
20/07/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 20/07/2013
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
0 comments:
Chapisha Maoni