WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
30/07/2013.
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[ Mikoa ya Pwani, Dar es
salaam na Tanga]:
[Mkoa wa Morogoro]
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera, Mara
na Mwanza]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi ,
ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Iringa, Mbeya,
Rukwa na Ruvuma]: [Mikoa ya Shinyanga, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Tabora na Kigoma]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI:
UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2
YANATARAJIWA KATIKA MAENEO YOTE YA PWANI NA ZIWA VICTORIA. TAFADHALI CHUKUA
TAHADHARI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
12:38
|
D'SALAAM
|
30°C
|
12:21
|
DODOMA
|
27°C
|
12:36
|
KIGOMA
|
29°C
|
01:01
|
MBEYA
|
26°C
|
12:41
|
MWANZA
|
28°C
|
12:53
|
TABORA
|
31°C
|
12:50
|
TANGA |
29°C
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
12:21
|
PEMBA
|
28°C
|
12:25
|
MOROGORO
|
28°C
|
12:28
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40 kwa saa; kutoka
Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini na
kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa .
Matazamio kwa usiku wa Jumanne:
30/07/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 30/07/2013
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.