Searching...
Jumatano, 31 Julai 2013

MAAJABUU!!! MTOTO AZALIWA NA KILO 6.1 AVUNJA REKODI

By George! Giant baby weighs 14lb 4ozMtoto Jasleen aliyezaliwa na uzito mkubwa huko nchini Ujerumani na kuvunja rekodi ambapo amezaliwa akiwa na kilo 6.1na urefu wa sentimita5.
Jambo la kushangaza kuhusu mtoto huyu ni kwamba amezaliwa kwa njia ya kawaida (sio kwa operation) huko University Hospital mjini Leipzig.
Mama na mtoto wote wanaendelea vizuri na mtoto yupo kwenye uangalizi katika chumba maalumu cha watotoepa03806587 Germany's heaviest newborn until now lies at the neonatal intensive care ward of the University Hospital in Leipzig, Germany, 29 July 2013. The girl Jasleen was born four days ago weighing extraordinary 6,110 g and measuring 57,5 cm in length. The mother only arrived at the hospital on the day of the birth and suffered from an undiscovered gestational diabetes.  EPA/WALTRAUD GRUBITZSCH

Hapo awali mtoto George King mtoto wa kifalme wa uingereza alizaliwa huko nchi ni Uingereza mwaka 1879 akiwa na kilo saba ndiye aliyekuwa anayeshikilia rekodi ya mtoto mkubwa duniani

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!