Searching...
Jumanne, 9 Julai 2013

HIVI NDIVYO MHE. ALI HASSAN MWINYI, MASANJA, SHILOLE WALIVYOTIA FORA TAMASHA LA UTAMADAUNI WA KISWAHILI MAREKANI.

Kutoka kushoto ni Dj Luke, Mhe, Ali Hassan Mwinyi, Mhe. Ramadhan Muombwa Mwinyi, Mama Lily Munanka, Idd Sandaly na Baraka Daudi katika picha ya pamoja wakati wakiingia ukumbini.
Watoto wa darasa la Kiswahili DMV wakiimba wimbo wa Taifa.
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akihutubia mamia ya Watanzania waliofika kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na kulifungua rasmi.
Shilole na Masanja mkandamizaji wakikandamiza na kugaragaza kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na miaka 3 ya sherehe ya Vijimambo.
Shilole (mwenye gauni la punda milia) akimnyanyua Afisa Ubalozi Mindi Kasiga kwenye moja ya nyimbo zake alizotumbuiza kwenye tamasha hilo.
Mhe. Ali Hassan Mwinyi akiwa tayari kuondoka.






0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!